HISTORIA INABAKI KUWA MWALIMU WA KILA JAMBO

 


Mstali wa Mbele kuanzia kushoto ni Salmin Amour,Ali Mzee Ali,Hassan Nassoro Moyo,Edward Moringe Sokoine,Aboud Jumbe,Juias Kambarage Nyerere,Rashidi Mfaume Kawawa,Cleopa Msuya na Kingunge Ngombale Mwiru,
Mstari wa Nyuma ni Abdalla Said Natepe,Salimu Ahamed Salimu,Getruda Mongera,Seif Sharif Hamad, Paul Sozigwa,Daudi Mwakawago,Moses Nnauye na Alfred Tandau..Wazee wetu hawa walilitumikia Taifa hili wakati huo likiwa Changa kabisa


Comments

Popular posts from this blog

Historia ya Vita vya Majimaji inaonesha kuwa awali walikamatwa machifu 48 na baadaye kukamatwa wengine ambapo idadi ya machifu walionyongwa na kuzikwa katika kaburi moja ilifikia 66.

UTARATIBU WA USAFI WA MAZINGIRA NAO UWEKWE KWENYE KATIBA?SWALI LA MDAU KWENYE FORUM YA KATIBA YA WATU

Mjadala kuhusu umuhimu wa elimu ya Katiba na uelewa wa sheria kwa wananchi unajumuisha masuala muhimu yanayohusu ujenzi wa demokrasia, utawala bora, na usawa katika jamii. Hapa kuna taarifa na tathmini ya kina juu ya mjadala huo: