Posts

Showing posts from March, 2023

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris Alhamisi mjini Dar es Salaam alimtaja Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kama 'bingwa' wa demokrasia

Image
Machi 2021 alikua mwanamke wa kwanza kuiongoza Tanzania. Dr.Samia Suluhu Hassan amemrithi  rais John Pombe Magufuli aliyefariki dunia ghafla. Katika ziara yake Makamu wa rais wa Marekani wakati wa mazungumzo na Rais. Samia Suluhu Hassan, amemwita "bingwa", kuhusu demokrasia, utawala bora, ukuaji wa uchumi wa muda mrefu na mgogoro wa Tabia nchi. "Katika suala la ukuaji wa uchumi, utawala bora unatoa utabiri, utulivu na sheria ambazo biashara zinahitaji kuwekeza," Kamala Harris amesema. "Kuna uwezekano wa kukua hapa," ameongeza. Akiweka shada la maua katika kumbukumbu ya shambulizi dhidi ya ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam, ulioshambuliwa mwaka 1998 kwa wakati mmoja na ubalozi wa Marekani nchini Kenya, jijini Nairobi. Ziara ya Kamala Harris ni sehemu ya juhudi za Washington kuimarisha uhusiano wake na Nchi za Afrika ikitajwa kama makabiliano na ushawishi wa China na Urusi kwa Nchi za Afrika. Machi 19, 2023 Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza miaka mi

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania, Mhe. Abdulrahman Kinana 28 Machi 2023 aongoza kikao (SUMMIT) cha wajumbe wa TCD katika ukumbi wa Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam

Image
 

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAELEKEZA LUGHA ZA KIINGEREZA NA KISWAHILI KUTUMIKA WAKATI WA UTUNGAJI WA SHERIA.

Image
  Sehemu ya wanakamati  wa  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria  na Viongozi  wa Taasisi za Wizara hiyo wakifuatilia  aarifa  ya Mhe. Waziri Ndumbaro. Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro  akiwasilisha taarifa  inayohusu Muundo  na Majukumu ya Wizara  pamoja na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Katiba na Sheria  kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala , Katiba naSheria  Tarehe 12 Machi 2023. Katibu Mkuu  wa Wizara ya Katiba na Sheria  Bi. Mary Makondo ( Mbele kushoto)  akiandika  maelekezo ya yaliyokuwa yakitolewa na wajumbe wa Kmati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Baadhi ya wajumbe  wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Utawala, Katiba na Sheria   wakifuatilia mazungumzo  wakati wa kikao cha Wizara ya Katiba na Sheria  na Kamati ya Kudumu ya ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imeielekeza Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kutumia lugha zote mbili wakati wa utungaji wa Sheria na

WATU, BABU NA BIBI ZETU MILIONI MOJA WALIKUFA AFRIKA MASHARIKI PEKEE WAKATI WA VITA VYA KWANZA VYA KIDUNIA,WAAFRIKA WENGI PIA WALIPIGANA HUKO ULAYA, WAKITETEA MASILAHI YA WAKOLONI WAO. LEO, THAMANI YAO IMESAHAULIWA KWA KIASI KIKUBWA.

Image
  Mnara wa ukumbusho wa kuvutia zaidi kwa wahasiriwa wa Kiafrika wa Vita vya Kwanza vya Ulimwengu (1914-1918) haupatikani barani Afrika bali uko Ufaransa. Katika vita vya Delville, moja ya mapigano makali katika eneo la Somme mwaka wa 1916, Brigade ya 1 ya Infantry ya Afrika Kusini ilipata hasara kubwa na waafrika wengi waliuwawa. J eshi la Afrika Kusini ni mojawapo ya mashirika machache barani Afrika ambayo yanaheshimu na kuthamini mchango wa Askari Hawa waafrika.  KUNA ufahamu mdogo kuhusu vita ya kwanza ya Dunia miongoni mwa watu weusi wa Afrika, hili limefanywa kusudi na wakoloni wa Afrika ili Historia hii isisimuliwe kabisa kwa uzao wa baadae wa Kizazi cha Afrika WAKATI wa mzozo huo, takriban watu milioni 2 kutoka kote barani Afrika walihusika kikamilifu katika makabiliano ya kijeshi, kama wanajeshi au wabebaji mizigo, huko Ulaya na Afrika.  Mwanzoni mwa vita, baadhi ya Waafrika walijitolea kushiriki, wakitiwa moyo na kudanganywa juu ya matarajio ya mapato ya kawaida.  Kuanzia 1

UKIUKWAJI WA HAKI NA DHURUMA NI ZAO LA SHERIA NA KANUNUNI ZA KIKOLONI NA ZINADUMU HADI LEO, TUANZE KUJIMBUSHA TUKIANZIA PWANI YA TANGANYIKA NA VITA VYA ABUSHIRI NA BWANA HERI MWAKA 1898 HUKO TANGA

Image
  Viongozi wake waliojulikana zaidi ni Abushiri ibn Salim al-Harthi kutoka Pangani na Bwana Heri wa Saadani. Tukio la tarehe 15 Desemba 1889, Abushiri bin Salim, kiongozi wa upinzani dhidi ya ukoloni Mjerumani akinyongwa hadharani na Mjerumani huko Pangani Mkoani Tanga. Sheria ya kikoloni -Mtu alinyongwa hadharani kujaza hofu jamii, na makaburi ya viongozi hayakujulikana kuzima historia. Vita ya Abushiri ilikuwa jaribio la wenyeji wa pwani ya Tanganyika kuzuia utawala wa Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki mwaka 1888/1889 lililokandamizwa na jeshi la Wajerumani. Wajerumani waliita “Uasi wa Waarabu”. Pwani za Tanganyika na Kenya pamoja na visiwa kama Unguja au Mafia vilikuwa chini ya Omani tangu mwaka 1698 wakati Waomani waliwafukuza Wareno kutoka Mombasa. Mnamo 1840 Sultani Said bin Sultan alihamisha mji mkuu wa utawala wake kutoka Maskat kuja Zanzibar mjini. Alidai pia ubwana juu ya miji yote ya Waswahili ilikuwepo kwenye pwani. Hali halisi miji ya Waswahili il