ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT) (UMOJA KWA MABADILIKO NA UWAZI) NI CHAMA CHA KISIASA NCHINI TANZANIA.










Alliance for Change and Transparency (ACT) (Umoja kwa Mabadiliko na Uwazi) ni chama cha kisiasa nchini Tanzania. Kimepata usajili wake kamili mnamo Mei 2014 Chama kilianzishwa mwaka wa 2014. 

Kimenuia kurudisha sera za Ujamaa. Mbunge wa zamani wa upinzani Zitto Kabwe amejiunga na chama hicho mnamo Machi 2015 kufuatia kufukuzwa kwake katika chama cha Chadema.

Mwaka 2015 chama kilipanga kuchukua angalau majimbo 10 na kukusanya asilimia 15 ya jumla ya kura zitakazopigwa katika uchaguzi mkuu.

Comments

Popular posts from this blog

Historia ya utawala wa Kijerumani katika eneo la Tanganyika inahusisha kipindi cha ukoloni wa Kijerumani ambacho kilidumu kati ya mwaka 1885 na 1916

MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA RAIS WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA CONGO MHE. FÉLIX ANTOINE TSHISEKEDI TSHILOMBO, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM TAREHE 23 OKTOBA, 2022