MKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MARIAM MWINYI AMEKUTANA NA MKE WA RAIS WA KENYA MAMA RACHAEL RUTO IKULU DAR ES SALAAM

 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amekutana na Mke wa Rais wa Kenya Mama Rachael Ruto Ikulu Dar es Salaam na kumzawadia mkufu na hereni zenye madini ya Tanzanite ambayo yanapatikana Tanzania pekee.

Baada ya tukuo hilo Wake wa Marais hao walijumuika katika dhifa ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mama  Samia Suluhu Hassan kwa mgeni wake Rais wa Kenya Mhe. William Ruto aliyekuwa nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.

📆 10 Oktoba 2022

đź“ŤIkulu, jijini Dar es Salaam






Comments

Popular posts from this blog

Historia ya utawala wa Kijerumani katika eneo la Tanganyika inahusisha kipindi cha ukoloni wa Kijerumani ambacho kilidumu kati ya mwaka 1885 na 1916

MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA RAIS WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA CONGO MHE. FÉLIX ANTOINE TSHISEKEDI TSHILOMBO, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM TAREHE 23 OKTOBA, 2022