MKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MARIAM MWINYI AMEKUTANA NA MKE WA RAIS WA KENYA MAMA RACHAEL RUTO IKULU DAR ES SALAAM

 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amekutana na Mke wa Rais wa Kenya Mama Rachael Ruto Ikulu Dar es Salaam na kumzawadia mkufu na hereni zenye madini ya Tanzanite ambayo yanapatikana Tanzania pekee.

Baada ya tukuo hilo Wake wa Marais hao walijumuika katika dhifa ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mama  Samia Suluhu Hassan kwa mgeni wake Rais wa Kenya Mhe. William Ruto aliyekuwa nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.

📆 10 Oktoba 2022

📍Ikulu, jijini Dar es Salaam






Comments

Popular posts from this blog

Historia ya Vita vya Majimaji inaonesha kuwa awali walikamatwa machifu 48 na baadaye kukamatwa wengine ambapo idadi ya machifu walionyongwa na kuzikwa katika kaburi moja ilifikia 66.

Mjadala kuhusu umuhimu wa elimu ya Katiba na uelewa wa sheria kwa wananchi unajumuisha masuala muhimu yanayohusu ujenzi wa demokrasia, utawala bora, na usawa katika jamii. Hapa kuna taarifa na tathmini ya kina juu ya mjadala huo: