RAIS SAMIA NA RIPOTI YA KIKOSI KAZI CHA KURATIBU MAONI YA WADAU WA DEMOK...

“Nimesikiliza vizuri uwasilishwaji uliofanywa na Profesa Mukandala na nimesikiliza vifungu vyote alivyovisema.Vingine nilikuwa nasema ilo kweli? Lakini ni maoni ya kikosi kazi,”sio jambo la kukabidhiwa papo uanze kulifanyia kazi, lakini kikosi kazi kimependekeza mambo mazuri yanayotakiwa kuzingatiwa na kuyafanyia kazi katika utendaji wa Serikali.

Comments

Popular posts from this blog

Historia ya utawala wa Kijerumani katika eneo la Tanganyika inahusisha kipindi cha ukoloni wa Kijerumani ambacho kilidumu kati ya mwaka 1885 na 1916

MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA RAIS WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA CONGO MHE. FÉLIX ANTOINE TSHISEKEDI TSHILOMBO, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM TAREHE 23 OKTOBA, 2022