Watanzania kwa umoja wetu bila kujali itikadi za vyama, dini, ukabili au vyeo tukiungana tunaweza kusababisha mabadiliko chanya na kwa haraka kwa Taifa letu. Tusikilizane, Tulindane, Tuinuane.






 

Comments

Popular posts from this blog

Historia ya Vita vya Majimaji inaonesha kuwa awali walikamatwa machifu 48 na baadaye kukamatwa wengine ambapo idadi ya machifu walionyongwa na kuzikwa katika kaburi moja ilifikia 66.