Opareshani ya +255 imejikita kwenye kuibua changamoto na kuwaeleza Watanzania ni namna gani chama cha CHADEMA kimejipanga kuhakikisha hali za maisha yao inabadilika. Kila kona ya Tanzania wanafika kuongea na wenye nchi.





 

Comments

Popular posts from this blog

Historia ya Vita vya Majimaji inaonesha kuwa awali walikamatwa machifu 48 na baadaye kukamatwa wengine ambapo idadi ya machifu walionyongwa na kuzikwa katika kaburi moja ilifikia 66.