Opareshani ya +255 imejikita kwenye kuibua changamoto na kuwaeleza Watanzania ni namna gani chama cha CHADEMA kimejipanga kuhakikisha hali za maisha yao inabadilika. Kila kona ya Tanzania wanafika kuongea na wenye nchi.





 

Comments

Popular posts from this blog

Historia ya utawala wa Kijerumani katika eneo la Tanganyika inahusisha kipindi cha ukoloni wa Kijerumani ambacho kilidumu kati ya mwaka 1885 na 1916