RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DAKT SAMIA SULUHU HASSAN KUZINDUA MKUTANO MAALUM WA SIKU TATU WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA NA WADAU WA DEMOKRASIA TAREHE 11 HADI 13 2023 JIJINI DAR ES SALAAM

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ali Ahmed,akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za msajiliwa Vyama Vya siasa tarihe 9 Septemba 2023 jiji Dar es salaam
 




Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ali Ahmed,jijini Dar es Salaam amesema tarehe 11 Septemba mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 

@SuluhuSamia atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia nchini.

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ali Ahmed, leo jijini Dar es Salaam amesema tarehe 11 Septemba mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia nchini.

Mkutano huo wa siku tatu uliobeba kauli mbiu Imarisha Demokrasia Tunza Amani utafanyika kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Julius Nyerere jijini Dar es Salaam na utafungwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi 



Comments

Popular posts from this blog

UTARATIBU WA USAFI WA MAZINGIRA NAO UWEKWE KWENYE KATIBA?SWALI LA MDAU KWENYE FORUM YA KATIBA YA WATU

Mjadala kuhusu umuhimu wa elimu ya Katiba na uelewa wa sheria kwa wananchi unajumuisha masuala muhimu yanayohusu ujenzi wa demokrasia, utawala bora, na usawa katika jamii. Hapa kuna taarifa na tathmini ya kina juu ya mjadala huo:

Historia ya Vita vya Majimaji inaonesha kuwa awali walikamatwa machifu 48 na baadaye kukamatwa wengine ambapo idadi ya machifu walionyongwa na kuzikwa katika kaburi moja ilifikia 66.