RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DAKT SAMIA SULUHU HASSAN KUZINDUA MKUTANO MAALUM WA SIKU TATU WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA NA WADAU WA DEMOKRASIA TAREHE 11 HADI 13 2023 JIJINI DAR ES SALAAM

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ali Ahmed,akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za msajiliwa Vyama Vya siasa tarihe 9 Septemba 2023 jiji Dar es salaam
 




Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ali Ahmed,jijini Dar es Salaam amesema tarehe 11 Septemba mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 

@SuluhuSamia atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia nchini.

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ali Ahmed, leo jijini Dar es Salaam amesema tarehe 11 Septemba mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania @SuluhuSamia atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa na Wadau wa Demokrasia nchini.

Mkutano huo wa siku tatu uliobeba kauli mbiu Imarisha Demokrasia Tunza Amani utafanyika kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Julius Nyerere jijini Dar es Salaam na utafungwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi 



Comments

Popular posts from this blog

Historia ya utawala wa Kijerumani katika eneo la Tanganyika inahusisha kipindi cha ukoloni wa Kijerumani ambacho kilidumu kati ya mwaka 1885 na 1916