Umuhimu wa 4R Katika Shughuli za Kisiasa Nchini (Maridhiano – Reconciliation, Ustahamilivu – Resilience, Mageuzi – Reforms na Ujenzi Mpya wa Taifa – Rebuilding)


Na Prof. Moh’d Makame Haji akita hoja na historia ya Tanzania
Mkutano Maalum wa Baraza La Vyama Vya Siasa Unaoshirikisha Wadau Wa Mapendekezo Ya Kikosi Kazi Na Kujadili Hali ya Kisiasa Nchini Terehe 11, 12 na 13 Septemba, 2023 
Kitio Cha Mikutano Julius Nyerere International Conference Centre Dar-Es-Salaam








 Demokrasia ya vyama wananchi kushiriki katika masuala ya uongozi wa nchi ilijitokeza rasmi mwaka 1948. Azimio la Kimataifa la Haki za Binadamu la (Universal Declaracion of Human Rights) ibara ya 21 ambapo wananchi wanaweza kushiriki katika uongozi moja kwa moja au kupitia kwa wawakilishi waliowachagua

Comments

Popular posts from this blog

UTARATIBU WA USAFI WA MAZINGIRA NAO UWEKWE KWENYE KATIBA?SWALI LA MDAU KWENYE FORUM YA KATIBA YA WATU

Historia ya Vita vya Majimaji inaonesha kuwa awali walikamatwa machifu 48 na baadaye kukamatwa wengine ambapo idadi ya machifu walionyongwa na kuzikwa katika kaburi moja ilifikia 66.

Mjadala kuhusu umuhimu wa elimu ya Katiba na uelewa wa sheria kwa wananchi unajumuisha masuala muhimu yanayohusu ujenzi wa demokrasia, utawala bora, na usawa katika jamii. Hapa kuna taarifa na tathmini ya kina juu ya mjadala huo: