MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA NA WADAU WA DEMOCRASIA

Lengo ni kujadili Miswaada ya Sheria za Uchaguzi na Sheria za Vyama vya Siasa iliyosomwa kwa mara ya kwanza Bungeni Novemba 10, 2023.

Kauli Mbiu;

" TOA MAONI YAKO KUIMARISHA DEMOKRASIA "

MGENI RASMI;

 Mhe. Othman Masoud Othman

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

đź—“️ Tarehe 3 na 4 Januari, 2024

📍Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City - Dar es salaam 















Comments

Popular posts from this blog

Historia ya Vita vya Majimaji inaonesha kuwa awali walikamatwa machifu 48 na baadaye kukamatwa wengine ambapo idadi ya machifu walionyongwa na kuzikwa katika kaburi moja ilifikia 66.